1 Mambo ya Nyakati 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wana wa Hebroni walikuwa Yeria akiwa kichwa, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu na Yekameamu+ wa nne. 1 Mambo ya Nyakati 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Wa Wahebroni, Yeriya+ alikuwa kichwa cha Wahebroni kulingana na vizazi vyao kulingana na mababu zao. Walitafutwa katika mwaka wa 40+ wa ufalme wa Daudi, nao mashujaa, wanaume wenye nguvu wakapatikana kati yao huko Yazeri+ katika Gileadi.+
19 Wana wa Hebroni walikuwa Yeria akiwa kichwa, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu na Yekameamu+ wa nne.
31 Wa Wahebroni, Yeriya+ alikuwa kichwa cha Wahebroni kulingana na vizazi vyao kulingana na mababu zao. Walitafutwa katika mwaka wa 40+ wa ufalme wa Daudi, nao mashujaa, wanaume wenye nguvu wakapatikana kati yao huko Yazeri+ katika Gileadi.+