27 Naye Daudi alikuwa amevaa koti lisilo na mikono la kitambaa laini, na pia Walawi wote waliochukua Sanduku na waimbaji na Kenania+ mkuu wa uchukuzi wa waimbaji;+ lakini Daudi alikuwa amevaa efodi+ ya kitani.
14 Tena akatengeneza pazia+ la uzi wa bluu+ na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na uzi mwekundu na kitambaa laini, na kulipamba kwa makerubi juu yake.+