2 Wathesalonike 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi, akina ndugu, simameni imara+ na mwendelee kuyashika mapokeo+ mliyofundishwa, iwe kwamba ilikuwa kupitia ujumbe wa maneno au kupitia barua yetu.
15 Basi, akina ndugu, simameni imara+ na mwendelee kuyashika mapokeo+ mliyofundishwa, iwe kwamba ilikuwa kupitia ujumbe wa maneno au kupitia barua yetu.