Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi Yoshua akaichukua nchi yote, kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwahidi Musa,+ kisha Yoshua akawapa Israeli iwe urithi wao kulingana na mafungu yao, kulingana na makabila yao.+ Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+

  • Yoshua 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jina la Hebroni hapo mwanzoni lilikuwa Kiriath-arba+ (huyo Arba+ alikuwa mwanamume mkuu kati ya Waanaki). Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+

  • Waamuzi 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi hao watu watano wakaendelea, wakaja Laishi,+ wakaona jinsi ambavyo watu waliokuwa humo walikaa kwa kujitegemea kulingana na desturi ya Wasidoni, watulivu na wasio na shaka,+ wala hapakuwa na mshindi mwenye kukandamiza aliyekuwa akileta usumbufu wowote katika nchi, nao walikuwa mbali sana na Wasidoni,+ wala hawakuwa na shughuli yoyote na wanadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki