Yoshua 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na Aini+ na kiwanja chake cha malisho, na Yuta+ na kiwanja chake cha malisho, Beth-shemeshi+ na kiwanja chake cha malisho; majiji tisa yalichukuliwa kutoka katika makabila hayo mawili. 1 Mambo ya Nyakati 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na makao yao yalikuwa Etamu na Aini, Rimoni na Tokeni na Ashani,+ majiji matano.
16 na Aini+ na kiwanja chake cha malisho, na Yuta+ na kiwanja chake cha malisho, Beth-shemeshi+ na kiwanja chake cha malisho; majiji tisa yalichukuliwa kutoka katika makabila hayo mawili.