Hesabu 27:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Binti za Selofehadi wanasema jambo lililo sawa. Wape miliki ya urithi katikati ya ndugu za baba yao, nawe utaupitisha urithi wa baba yao kwao.+ Hesabu 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kusema: “Yehova alimwamuru bwana wangu awape wana wa Israeli nchi iwe urithi kwa kura;+ naye bwana wangu aliamriwa na Yehova kwamba urithi wa Selofehadi ndugu yetu awape binti zake.+
7 “Binti za Selofehadi wanasema jambo lililo sawa. Wape miliki ya urithi katikati ya ndugu za baba yao, nawe utaupitisha urithi wa baba yao kwao.+
2 na kusema: “Yehova alimwamuru bwana wangu awape wana wa Israeli nchi iwe urithi kwa kura;+ naye bwana wangu aliamriwa na Yehova kwamba urithi wa Selofehadi ndugu yetu awape binti zake.+