10 Na Yabesi akaanza kumwita Mungu+ wa Israeli, akisema: “Hakika ukinibariki+ na kwa kweli upanue eneo langu+ na mkono+ wako uwe pamoja nami, nawe uniokoe kutoka katika msiba,+ ili huo usipate kunidhuru,+ —” Basi Mungu akatimiza yale ambayo yeye alikuwa ameomba.+