Hesabu 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+ Hesabu 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Yoshua mwana wa Nuni+ na Kalebu mwana wa Yefune,+ ambao ni kati ya wale walioipeleleza nchi hiyo, wakayararua mavazi yao,+ Hesabu 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 isipokuwa Kalebu+ mwana wa Yefune Mkenizi na Yoshua+ mwana wa Nuni, kwa sababu wamemfuata Yehova kikamilifu.’ Kumbukumbu la Torati 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yoshua mwana wa Nuni alikuwa amejaa roho ya hekima,+ kwa kuwa Musa alikuwa ameweka mkono wake juu yake;+ na wana wa Israeli wakaanza kumsikiliza nao wakafanya kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+
28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+
6 Na Yoshua mwana wa Nuni+ na Kalebu mwana wa Yefune,+ ambao ni kati ya wale walioipeleleza nchi hiyo, wakayararua mavazi yao,+
12 isipokuwa Kalebu+ mwana wa Yefune Mkenizi na Yoshua+ mwana wa Nuni, kwa sababu wamemfuata Yehova kikamilifu.’
9 Na Yoshua mwana wa Nuni alikuwa amejaa roho ya hekima,+ kwa kuwa Musa alikuwa ameweka mkono wake juu yake;+ na wana wa Israeli wakaanza kumsikiliza nao wakafanya kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+