1 Mambo ya Nyakati 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa habari ya Walawi, Ahiya alikuwa juu ya hazina+ za nyumba ya Mungu wa kweli na juu ya hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu.+ 2 Mambo ya Nyakati 31:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wakaendelea kuleta ule mchango+ na ile sehemu ya kumi+ na vile vitu vitakatifu kwa uaminifu;+ na Konania Mlawi alikuwa akiwasimamia akiwa kiongozi, na Shimei ndugu yake alikuwa wa pili.
20 Kwa habari ya Walawi, Ahiya alikuwa juu ya hazina+ za nyumba ya Mungu wa kweli na juu ya hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu.+
12 Nao wakaendelea kuleta ule mchango+ na ile sehemu ya kumi+ na vile vitu vitakatifu kwa uaminifu;+ na Konania Mlawi alikuwa akiwasimamia akiwa kiongozi, na Shimei ndugu yake alikuwa wa pili.