2 Samweli 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakati wote ambao nimetembea katikati ya wana wote wa Israeli,+ je, kuna neno lolote ambalo niliambia moja la makabila ya Israeli,+ nililoamuru kuwachunga watu wangu Israeli, nikisema, ‘Kwa nini hamkunijengea nyumba ya mierezi?’”’ Zaburi 78:71 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 71 Aache kuwafuata wale wa kike wanaonyonyesha+Akamleta awe mchungaji juu ya Yakobo watu wake+Na juu ya Israeli, urithi wake.+ Yohana 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ndiye mchungaji+ mwema; mchungaji mwema huitoa nafsi yake kwa ajili ya kondoo.+
7 Wakati wote ambao nimetembea katikati ya wana wote wa Israeli,+ je, kuna neno lolote ambalo niliambia moja la makabila ya Israeli,+ nililoamuru kuwachunga watu wangu Israeli, nikisema, ‘Kwa nini hamkunijengea nyumba ya mierezi?’”’
71 Aache kuwafuata wale wa kike wanaonyonyesha+Akamleta awe mchungaji juu ya Yakobo watu wake+Na juu ya Israeli, urithi wake.+