2 “Wape wana wa Israeli amri ya kwamba lazima wawape Walawi majiji+ wakae humo kutoka katika urithi wa miliki yao, nao watawapa Walawi kiwanja cha malisho cha majiji kuzunguka pande zote.+
54 Na haya ndiyo yaliyokuwa makao yao kulingana na kambi zao zilizozungushiwa ukuta katika eneo lao,+ kwa ajili ya wana wa Haruni wa familia ya Wakohathi,+ kwa maana kura ilikuwa imekuwa yao.