20 Wanapoingia kwenye hema la mkutano wataoga kwa maji wasije wakafa, au wanapoenda karibu na madhabahu kuhudumia ili kumfukizia Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto.+
8 Kisha akafanya beseni ya shaba+ na kinara chake cha shaba, kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+
6 Tena akatengeneza beseni kumi, akaweka tano upande wa kuume na tano upande wa kushoto,+ ili kuoshea humo.+ Wakawa wakioshea humo vitu vinavyohusiana na toleo la kuteketezwa.+ Lakini ile bahari ilikuwa kwa ajili ya makuhani kuogea humo.+