3 Kimbelembele cha moyo wako ndicho kimekudanganya,+ wewe unayekaa katika makimbilio ya mwamba,+ kwenye kilele ambapo yeye hukaa, akisema moyoni mwake, ‘Ni nani atakayenishusha chini duniani?’
18 (Kwa hiyo, mtu huyo alinunua+ shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu,+ akaanguka kichwa kwanza+ akapasuka kwa kelele katikati na matumbo yake yote yakamwagika nje.