25 Na katika majiji yote, majiji ya Yuda, akajenga mahali pa juu+ kwa ajili ya kuifukizia miungu mingine moshi wa uvumba,+ hivi kwamba akamtia uchungu+ Yehova Mungu wa mababu zake.
25 kwa sababu wameniacha+ na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine,+ ili kunitia uchungu+ kwa matendo yote ya mikono yao,+ na ili ghadhabu+ yangu imwagike juu ya mahali hapa wala isizimwe.’”+