Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akawapiga Wafilisti+ na kuwatiisha,+ na Daudi akachukua Metheg-ama kutoka mkononi mwa Wafilisti.

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo Yehova akaamsha juu ya Yehoramu roho+ ya Wafilisti+ na Waarabu+ waliokuwa kando ya Waethiopia.+

  • Isaya 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Usishangilie,+ Ee Ufilisti,+ yeyote kati yenu, ati kwa sababu fimbo ya yule anayewapiga imevunjwa.+ Kwa maana kutoka katika mzizi wa nyoka+ atatoka nyoka mwenye sumu,+ na tunda lake litakuwa nyoka wa moto anayeruka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki