2 Samweli 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akawapiga Wafilisti+ na kuwatiisha,+ na Daudi akachukua Metheg-ama kutoka mkononi mwa Wafilisti. 2 Mambo ya Nyakati 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo Yehova akaamsha juu ya Yehoramu roho+ ya Wafilisti+ na Waarabu+ waliokuwa kando ya Waethiopia.+ Isaya 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Usishangilie,+ Ee Ufilisti,+ yeyote kati yenu, ati kwa sababu fimbo ya yule anayewapiga imevunjwa.+ Kwa maana kutoka katika mzizi wa nyoka+ atatoka nyoka mwenye sumu,+ na tunda lake litakuwa nyoka wa moto anayeruka.+
8 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akawapiga Wafilisti+ na kuwatiisha,+ na Daudi akachukua Metheg-ama kutoka mkononi mwa Wafilisti.
16 Kwa hiyo Yehova akaamsha juu ya Yehoramu roho+ ya Wafilisti+ na Waarabu+ waliokuwa kando ya Waethiopia.+
29 “Usishangilie,+ Ee Ufilisti,+ yeyote kati yenu, ati kwa sababu fimbo ya yule anayewapiga imevunjwa.+ Kwa maana kutoka katika mzizi wa nyoka+ atatoka nyoka mwenye sumu,+ na tunda lake litakuwa nyoka wa moto anayeruka.+