6 Hawa wote ndio waliokuwa chini ya amri ya baba yao katika nyimbo kwenye nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ vinanda+ na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli.
Chini ya amri ya mfalme kulikuwa Asafu na Yeduthuni na Hemani.+
11 Na mfalme akatengeneza kwa zile mbao za misandali ngazi+ kwa ajili ya nyumba ya Yehova na kwa ajili ya nyumba ya mfalme+ na pia vinubi+ na vinanda+ vya waimbaji,+ na vitu kama hivyo havikuwa vimepata kuonekana kabla ya hapo katika nchi ya Yuda.