21 Nao wakaendelea kutoa dhabihu+ kwa Yehova na kutoa matoleo ya kuteketezwa+ kwa Yehova siku ya pili yake, ng’ombe-dume wachanga elfu moja, kondoo-dume elfu moja, wana-kondoo dume elfu moja na matoleo yao ya kinywaji,+ dhabihu nyingi sana kwa ajili ya Israeli wote.+