Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Isaya akawaambia: “Mwambieni bwana wenu, ‘Yehova amesema hivi:+ “Usiogope+ kwa sababu ya maneno uliyosikia ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamesema vibaya kunihusu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi akasema: “Sikilizeni kwa makini, Yuda wote nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Tazama, Yehova amewaambia ninyi hivi, ‘Msiogope+ wala msiwe na hofu kwa sababu ya umati huu mkubwa; kwa maana vita si vyenu bali ni vya Mungu.+

  • Mathayo 10:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki