2 Wafalme 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini yeye akasema: “Usiogope,+ kwa maana wale walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao.”+ Isaya 51:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mimi—mimi mwenyewe ndiye Yule anayewafariji ninyi.+ “Wewe ni nani kwamba umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa,+ na mwanadamu ambaye atafanywa kuwa majani mabichi tu?+
16 Lakini yeye akasema: “Usiogope,+ kwa maana wale walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao.”+
12 “Mimi—mimi mwenyewe ndiye Yule anayewafariji ninyi.+ “Wewe ni nani kwamba umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa,+ na mwanadamu ambaye atafanywa kuwa majani mabichi tu?+