24 Na Yehu akatia upinde+ mkononi mwake, akampiga Yehoramu katikati ya mikono, hivi kwamba ule mshale ukatokea moyoni mwake, naye akaanguka ndani ya gari lake la vita.+
33 Na palikuwa na mtu aliyepinda upinde bila kujua, lakini akampiga+ mfalme wa Israeli katikati ya viungio na vazi la chuma, naye akamwambia mwendesha-gari:+ “Geuza mkono wako, uniondoe katika kambi, kwa sababu nimeumizwa vibaya.”+