2 Mambo ya Nyakati 32:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na yale mambo mengine+ ya Hezekia na matendo yake ya fadhili zenye upendo,+ tazama, yameandikwa katika maono ya Isaya nabii, mwana wa Amozi,+ katika Kitabu+ cha Wafalme wa Yuda na Israeli. Methali 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kinachotamanika katika mtu wa udongo ni fadhili zake zenye upendo;+ na maskini ni bora kuliko mtu anayesema uwongo.+
32 Na yale mambo mengine+ ya Hezekia na matendo yake ya fadhili zenye upendo,+ tazama, yameandikwa katika maono ya Isaya nabii, mwana wa Amozi,+ katika Kitabu+ cha Wafalme wa Yuda na Israeli.
22 Kinachotamanika katika mtu wa udongo ni fadhili zake zenye upendo;+ na maskini ni bora kuliko mtu anayesema uwongo.+