3 Basi Musa na Haruni wakaingia ndani kwa Farao na kumwambia: “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Waebrania amesema, ‘Utaendelea kukataa kujitiisha kwangu mpaka wakati gani?+ Waruhusu watu wangu waende zao ili wanitumikie.
26 Hata hivyo, Hezekia akajinyenyekeza+ kwa sababu ya majivuno ya moyo wake, yeye pamoja na wakaaji wa Yerusalemu, na ghadhabu ya Yehova haikuja juu yao katika siku za Hezekia.+