Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Musa na Haruni wakaingia ndani kwa Farao na kumwambia: “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Waebrania amesema, ‘Utaendelea kukataa kujitiisha kwangu mpaka wakati gani?+ Waruhusu watu wangu waende zao ili wanitumikie.

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Hata hivyo, Hezekia akajinyenyekeza+ kwa sababu ya majivuno ya moyo wake, yeye pamoja na wakaaji wa Yerusalemu, na ghadhabu ya Yehova haikuja juu yao katika siku za Hezekia.+

  • Danieli 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Na wewe, Belshaza mwana wake,+ hukunyenyekeza moyo wako,+ ijapokuwa ulijua hayo yote.+

  • Yakobo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jinyenyekezeni machoni pa Yehova,+ naye atawainua ninyi.+

  • 1 Petro 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati unaofaa;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki