Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 26:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 utachukua pia sehemu ya matunda ya kwanza ya mazao ya udongo, ambayo utaleta ndani kutoka katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nawe utayatia katika kikapu na kwenda mahali ambapo Yehova+ Mungu wako atachagua ili jina lake likae hapo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ila tu wewe mwenyewe hutaijenga nyumba hiyo,+ bali mwana wako atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayeijenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’+

  • Nehemia 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mtakaporudi kwangu+ na kuzishika amri zangu+ na kuzifanya,+ hata watu wenu waliotawanywa wawe katika mwisho wa mbingu, kutoka huko nitawakusanya+ na kuwaleta+ mahali ambapo nimepachagua ili jina langu likae hapo.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki