Isaya 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na watu hawakurudi kwa Yeye anayewapiga,+ nao hawakumtafuta Yehova wa majeshi.+ Ezekieli 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “ ‘Kwa hiyo nitawahukumu ninyi kila mmoja kulingana na njia yake,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Geukeni, naam, geukeni na kuyaacha makosa yenu yote,+ na chochote kisiwe kwenu kikwazo kinachosababisha kosa.+
30 “ ‘Kwa hiyo nitawahukumu ninyi kila mmoja kulingana na njia yake,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Geukeni, naam, geukeni na kuyaacha makosa yenu yote,+ na chochote kisiwe kwenu kikwazo kinachosababisha kosa.+