17 Lakini sisi wenyewe tutaenda tayari tukiwa tumejipanga kivita+ mbele ya wana wa Israeli mpaka tutakapokuwa tumewafikisha mahali pao, nao watoto wetu wadogo watakaa katika majiji yenye ngome mbali na uso wa wakaaji wa nchi.
52 Nao kwa kweli watakuzingira ndani ya malango yako yote mpaka kuta zako ndefu na zenye ngome ambazo unazitumaini zitakapoanguka katika nchi yako yote, naam, hakika watakuzingira ndani ya malango yako katika nchi yako yote, ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+
2 “Basi, sasa, wakati ule barua hii inapowafikia ninyi, mnao wana wa bwana wenu pamoja nanyi, na mnayo magari ya vita na farasi+ pamoja nanyi na jiji lenye ngome na silaha.