6Na ikawa kwamba katika mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ katika mwaka wa nne,+ katika mwezi wa Zivu,+ yaani, mwezi wa pili,+ baada ya Sulemani kuwa mfalme juu ya Israeli, akaanza kumjengea Yehova nyumba.+
7 Na wakati nyumba ile ilipokuwa ikijengwa, ilijengwa kwa mawe ya machimbo+ yaliyomalizika tayari; na sauti ya nyundo na mashoka na vifaa vyovyote vya chuma haikusikika katika nyumba+ ile ilipokuwa ikijengwa.