Hesabu 33:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Halafu wakaondoka Abrona, wakapiga kambi Esion-geberi.+ 1 Wafalme 22:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Naye Yehoshafati akajenga meli za Tarshishi+ ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda, kwa sababu meli hizo zilivunjika huko Esion-geberi.+ 2 Mambo ya Nyakati 20:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa hiyo akamfanya kuwa mshirika pamoja naye katika ujenzi wa meli za kwenda Tarshishi+ nao wakajenga meli kule Esion-geberi.+
48 Naye Yehoshafati akajenga meli za Tarshishi+ ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda, kwa sababu meli hizo zilivunjika huko Esion-geberi.+
36 Kwa hiyo akamfanya kuwa mshirika pamoja naye katika ujenzi wa meli za kwenda Tarshishi+ nao wakajenga meli kule Esion-geberi.+