31 Naye alikuwa na hekima zaidi kuliko mwanadamu mwingine yeyote, kuliko Ethani+ Mwezra, na Hemani+ na Kalkoli+ na Darda wana wa Maholi; na sifa yake ikaenea katika mataifa yote yanayozunguka pande zote.+
34 Na watu kutoka katika vikundi vyote vya watu wakazidi kuja kuisikia hekima ya Sulemani,+ naam, kutoka kwa wafalme wote wa dunia waliokuwa wamesikia habari za hekima yake.+
12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+