Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye alikuwa na hekima zaidi kuliko mwanadamu mwingine yeyote, kuliko Ethani+ Mwezra, na Hemani+ na Kalkoli+ na Darda wana wa Maholi; na sifa yake ikaenea katika mataifa yote yanayozunguka pande zote.+

  • 1 Wafalme 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na watu kutoka katika vikundi vyote vya watu wakazidi kuja kuisikia hekima ya Sulemani,+ naam, kutoka kwa wafalme wote wa dunia waliokuwa wamesikia habari za hekima yake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki