22 Kwa maana mfalme alikuwa na kundi la meli za Tarshishi+ baharini pamoja na kundi la meli za Hiramu. Mara moja kila miaka mitatu kundi la meli za Tarshishi zilikuja zikiwa zimebeba dhahabu+ na fedha, pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.
18 Naye Hiramu+ kupitia watumishi wake akampelekea kwa ukawaida meli na watumishi wenye ujuzi wa bahari,+ nao wakawa wakienda Ofiri+ pamoja na watumishi wa Sulemani na kuchukua kutoka huko talanta 450+ za dhahabu,+ wakamletea Mfalme Sulemani.+