Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana mfalme alikuwa na kundi la meli za Tarshishi+ baharini pamoja na kundi la meli za Hiramu. Mara moja kila miaka mitatu kundi la meli za Tarshishi zilikuja zikiwa zimebeba dhahabu+ na fedha, pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Hiramu+ kupitia watumishi wake akampelekea kwa ukawaida meli na watumishi wenye ujuzi wa bahari,+ nao wakawa wakienda Ofiri+ pamoja na watumishi wa Sulemani na kuchukua kutoka huko talanta 450+ za dhahabu,+ wakamletea Mfalme Sulemani.+

  • Zaburi 72:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wafalme wa Tarshishi na wa visiwa+—

      Watalipa ushuru.+

      Wafalme wa Sheba na wa Seba—

      Watatoa zawadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki