2 Samweli 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Baadaye Absalomu akamwambia Ahithofeli: “Toeni shauri lenu.+ Tufanye nini?” Ayubu 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, hekima haimo katikati ya wazee+Na uelewaji katika wingi wa siku?