Methali 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtu atasifiwa kwa sababu ya kinywa chake cha busara,+ lakini aliyepotoka moyoni atadharauliwa.+ Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+ Mhubiri 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+ Zekaria 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye Yehova akamjibu malaika aliyekuwa akisema nami, kwa maneno mema, maneno yenye kufariji;+
4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+