Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mtu atasifiwa kwa sababu ya kinywa chake cha busara,+ lakini aliyepotoka moyoni atadharauliwa.+

  • Methali 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+

  • Mhubiri 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Roho ya mtawala ikiinuka juu yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu wenyewe hutuliza dhambi kubwa.+

  • Zekaria 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye Yehova akamjibu malaika aliyekuwa akisema nami, kwa maneno mema, maneno yenye kufariji;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki