Kumbukumbu la Torati 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye Sihoni mfalme wa Heshboni hakuturuhusu tupite katikati yake, kwa sababu Yehova Mungu wako alikuwa ameiacha roho yake iwe kaidi+ na moyo wake uwe mgumu, ili amtie mkononi mwako kama ilivyo leo hii.+ Zaburi 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hakika Mungu atawahesabia hatia;+Wataanguka kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.+Na watawanywe katika wingi wa makosa yao,+Kwa sababu wamekuasi wewe.+ Methali 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Huugeuza kuelekea popote anapopenda.+ Amosi 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Je, baragumu ikipigwa katika jiji, watu wenyewe pia hawatetemeki?+ Je, msiba ukitokea katika jiji, Yehova siye pia aliyetenda?
30 Naye Sihoni mfalme wa Heshboni hakuturuhusu tupite katikati yake, kwa sababu Yehova Mungu wako alikuwa ameiacha roho yake iwe kaidi+ na moyo wake uwe mgumu, ili amtie mkononi mwako kama ilivyo leo hii.+
10 Hakika Mungu atawahesabia hatia;+Wataanguka kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.+Na watawanywe katika wingi wa makosa yao,+Kwa sababu wamekuasi wewe.+
6 Je, baragumu ikipigwa katika jiji, watu wenyewe pia hawatetemeki?+ Je, msiba ukitokea katika jiji, Yehova siye pia aliyetenda?