27 “Lakini, je, kweli Mungu atakaa duniani?+ Tazama! Mbingu,+ ndiyo, mbingu za mbingu,+ haziwezi kukutosha;+ jinsi gani basi, nyumba hii+ ambayo nimeijenga!
24 Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, akiwa, kama Huyu alivyo, Bwana wa mbingu na dunia,+ hakai katika mahekalu yaliyofanywa kwa mikono,+