Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova naye akawavuruga mbele ya Israeli,+ nao wakaanza kuwaua kwa mauaji makuu katika Gibeoni,+ wakawafuatilia kwa njia ya mpando wa Beth-horoni, wakawaua mpaka Azeka+ na Makeda.+

  • Nehemia 11:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Zanoa,+ Adulamu+ na makao yake, Lakishi+ na mashamba yake, Azeka+ na miji yake ya kandokando. Nao wakapiga kambi kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.+

  • Yeremia 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 wakati majeshi ya mfalme wa Babiloni yalipokuwa yakipiga vita juu ya Yerusalemu na juu ya majiji yote ya Yuda ambayo yalikuwa yamebaki,+ juu ya Lakishi+ na juu ya Azeka;+ kwa maana hayo, majiji yenye ngome,+ ndiyo yaliyobaki kati ya majiji ya Yuda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki