Waamuzi 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo Yuda akaenda, kisha Yehova akawatia Wakanaani na Waperizi mikononi mwao,+ nao wakawashinda katika Bezeki, watu elfu kumi.
4 Kwa hiyo Yuda akaenda, kisha Yehova akawatia Wakanaani na Waperizi mikononi mwao,+ nao wakawashinda katika Bezeki, watu elfu kumi.