Kutoka 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kwa kuikumbuka siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu,+ Kutoka 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nanyi lazima mwishike sabato, kwa maana ni kitu kitakatifu kwenu.+ Mtu atakayeinajisi hakika atauawa.+ Ikiwa mtu yeyote atafanya kazi siku hiyo, basi nafsi hiyo itakatiliwa mbali toka katikati ya watu wake.+
14 Nanyi lazima mwishike sabato, kwa maana ni kitu kitakatifu kwenu.+ Mtu atakayeinajisi hakika atauawa.+ Ikiwa mtu yeyote atafanya kazi siku hiyo, basi nafsi hiyo itakatiliwa mbali toka katikati ya watu wake.+