17 Mwishowe nikawaambia: “Ninyi mnaona hali mbaya tuliyo nayo, jinsi ambavyo Yerusalemu limeharibiwa na malango yake kuteketezwa kwa moto. Njooni tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, ili tusiendelee kuwa kitu cha aibu tena.”+
5 Na sasa, tafadhali, acheni niwajulishe ninyi kitu nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Ukigo wake utaondolewa,+ nalo halitakosa kuteketezwa kwa moto.+ Ukuta wake wa mawe utabomolewa, nalo halitakosa kuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga.+