Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na jeshi lote la Wakaldayo lililokuwa pamoja na mkuu wa walinzi likazibomoa kuta za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+

  • Nehemia 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mwishowe nikawaambia: “Ninyi mnaona hali mbaya tuliyo nayo, jinsi ambavyo Yerusalemu limeharibiwa na malango yake kuteketezwa kwa moto. Njooni tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, ili tusiendelee kuwa kitu cha aibu tena.”+

  • Isaya 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na sasa, tafadhali, acheni niwajulishe ninyi kitu nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Ukigo wake utaondolewa,+ nalo halitakosa kuteketezwa kwa moto.+ Ukuta wake wa mawe utabomolewa, nalo halitakosa kuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki