19 Basi, wakati Sanbalati+ Mhoroni na Tobia+ yule mtumishi,+ Mwamoni,+ na Geshemu+ Mwarabu+ waliposikia jambo hilo, wakaanza kutudhihaki+ na kutudharau wakisema: “Ni nini hili mnalofanya? Je, mnamwasi mfalme?”+
6Basi ikawa kwamba, mara tu Sanbalati+ na Tobia+ na Geshemu+ Mwarabu+ na wale adui zetu wengine walipoambiwa kuwa nimejenga upya ukuta+ na kwamba hakuna shimo lolote limebaki ndani yake (ingawa kufikia wakati huo sikuwa nimeisimamisha milango+ katika malango),+