16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+
28 nanyi msiwaogope hata kidogo wapinzani+ wenu. Jambo hili ni uthibitisho wa uharibifu kwao, lakini wa wokovu kwenu;+ na ishara hii inatokana na Mungu,