9 “Na ikiwa mtaingia vitani katika nchi yenu kupigana na mkandamizaji anayewasumbua ninyi,+ mnapaswa pia kutoa mwito wa vita kwa tarumbeta+ nanyi hakika mtakumbukwa mbele za Yehova Mungu wenu na kuokolewa kutoka kwa adui zenu.+
12 Na tazama! pamoja nasi yuko mbele yetu Mungu wa kweli+ pamoja na makuhani+ wake na tarumbeta+ za ishara kwa ajili ya kupiga king’ora cha vita juu yenu. Enyi wana wa Israeli, msipigane na Yehova Mungu wa mababu zenu,+ kwa maana hamtafanikiwa.”+