Zaburi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+ Zaburi 120:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Yehova, uikomboe nafsi yangu kutokana na midomo ya uwongo,+Kutokana na ulimi wenye ujanja.+
2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+