Ezra 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na baada ya mambo hayo katika utawala wa Artashasta+ mfalme wa Uajemi, Ezra+ mwana wa Seraya+ mwana wa Azaria mwana wa Hilkia+ Nehemia 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na wakati huo wote mimi sikuwa katika Yerusalemu, kwa maana nilirudi kwa mfalme katika mwaka wa 32+ wa Artashasta+ mfalme wa Babiloni, na wakati fulani baadaye nikaomba mfalme ruhusa ya kutokuwapo.+
7 Na baada ya mambo hayo katika utawala wa Artashasta+ mfalme wa Uajemi, Ezra+ mwana wa Seraya+ mwana wa Azaria mwana wa Hilkia+
6 Na wakati huo wote mimi sikuwa katika Yerusalemu, kwa maana nilirudi kwa mfalme katika mwaka wa 32+ wa Artashasta+ mfalme wa Babiloni, na wakati fulani baadaye nikaomba mfalme ruhusa ya kutokuwapo.+