1 Mambo ya Nyakati 29:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme. Zaburi 103:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 103 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu,+Naam, kila kitu kilicho ndani yangu, na kilibariki jina lake takatifu.+
20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme.
103 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu,+Naam, kila kitu kilicho ndani yangu, na kilibariki jina lake takatifu.+