1 Samweli 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ akawakomboa kutoka mkono wa adui zenu pande zote, ili mkae kwa amani.+ 2 Wafalme 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na Yehova alikuwa ameahidi kwamba hatafutilia mbali jina la Israeli kutoka chini ya mbingu.+ Basi akawaokoa+ kupitia mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.
11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ akawakomboa kutoka mkono wa adui zenu pande zote, ili mkae kwa amani.+
27 Na Yehova alikuwa ameahidi kwamba hatafutilia mbali jina la Israeli kutoka chini ya mbingu.+ Basi akawaokoa+ kupitia mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.