Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na katika mwezi wa kumi na mbili, yaani, mwezi wa Adari,+ siku ya kumi na tatu ya mwezi huo, wakati ulipofika wa kutimiza neno la mfalme na sheria yake,+ siku ambayo adui za Wayahudi walikuwa wamengojea kuwatawala, mambo yaligeuka yakawa kinyume, kwa maana Wayahudi waliwatawala wale waliowachukia.+

  • Esta 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Esta akasema: “Ikiwa kwa mfalme inaonekana vema,+ Wayahudi walio katika Shushani na wapewe ruhusa kesho pia kufanya kulingana na sheria ya leo;+ na hao wana kumi wa Hamani watundikwe juu ya mti.”+

  • Esta 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Wayahudi waliokuwa Shushani wakajikusanya pia siku ya kumi na nne+ ya mwezi wa Adari, nao wakawaua watu mia tatu Shushani; lakini hawakunyoosha mkono wao juu ya nyara.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki