26 Waangalieni kwa makini ndege+ wa mbinguni, kwa sababu hawapandi mbegu au kuvuna au kukusanya ghalani; na bado Baba yenu wa mbinguni huwalisha wao. Je, ninyi si bora kuliko wao?+
24 Angalieni kwamba kunguru+ hawapandi mbegu wala hawavuni, nao hawana bohari wala ghala, na bado Mungu huwalisha. Ninyi ni wenye thamani kama nini kuliko ndege?+