Zaburi 103:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana upepo unapita juu yake, nalo halipo tena;+Napo mahali pake hapataendelea kulitambua tena.+ Zaburi 146:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+Siku hiyo mawazo yake hupotea.+ Mhubiri 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+
16 Kwa maana upepo unapita juu yake, nalo halipo tena;+Napo mahali pake hapataendelea kulitambua tena.+
5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+