Ayubu 42:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu. Zaburi 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watu waovu+ watarudi katika Kaburi,*+Naam, mataifa yote yanayomsahau Mungu.+
7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu.