Danieli 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye anafunua mambo mazito na yale yaliyofichwa,+ akijua yaliyo katika giza;+ nayo nuru+ hukaa kwake. Mathayo 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo msiwaogope; kwa maana hakuna kitu chochote kilichofunikwa ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+ 1 Wakorintho 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+
22 Yeye anafunua mambo mazito na yale yaliyofichwa,+ akijua yaliyo katika giza;+ nayo nuru+ hukaa kwake.
26 Kwa hiyo msiwaogope; kwa maana hakuna kitu chochote kilichofunikwa ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+
5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+