Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Umemrekebisha mtu kwa makaripio dhidi ya kosa,+

      Nawe unakula vitu vyake vyenye kutamanika kama nondo.+

      Kwa kweli kila mtu wa udongo ni pumzi tu.+ Sela.

  • Isaya 50:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tazama! Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe atanisaidia. Ni nani anayeweza kunitangaza mimi kuwa mwovu?+ Tazama! Wote, kama vazi, watachakaa.+ Nondo atawala wao.+

  • Yakobo 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Utajiri wenu umeoza, na mavazi yenu ya nje yameliwa na nondo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki