Zaburi 39:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Umemrekebisha mtu kwa makaripio dhidi ya kosa,+Nawe unakula vitu vyake vyenye kutamanika kama nondo.+Kwa kweli kila mtu wa udongo ni pumzi tu.+ Sela. Isaya 50:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama! Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe atanisaidia. Ni nani anayeweza kunitangaza mimi kuwa mwovu?+ Tazama! Wote, kama vazi, watachakaa.+ Nondo atawala wao.+ Yakobo 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Utajiri wenu umeoza, na mavazi yenu ya nje yameliwa na nondo.+
11 Umemrekebisha mtu kwa makaripio dhidi ya kosa,+Nawe unakula vitu vyake vyenye kutamanika kama nondo.+Kwa kweli kila mtu wa udongo ni pumzi tu.+ Sela.
9 Tazama! Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe atanisaidia. Ni nani anayeweza kunitangaza mimi kuwa mwovu?+ Tazama! Wote, kama vazi, watachakaa.+ Nondo atawala wao.+